Psalms 88:10-12


10 aJe, wewe huwaonyesha wafu maajabu yako?
Je, wale waliokufa huinuka na kukusifu?


11 bJe, upendo wako hutangazwa kaburini,
uaminifu wako katika Uharibifu?
Yaani Abadon .


12 dJe, maajabu yako hujulikana mahali pa giza,
au matendo yako ya haki katika nchi ya usahaulifu?

Copyright information for SwhKC